HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, June 23, 2013

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AONGOZA KIKAO CHA SMZ NA SMT MJINI DODOMA LEO

 Mwenyekiti wa Mkutano wa Kamati ya pamoja ya SMT na SMZ Makamu wa Rais wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Moha Gharib Bilal akiendesha Kikao hicho kilichokutana katika Ukumbi wa New Dodoma Hoteli Mjini Dodoma.Kushoto ya Dr. Bilal ni Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda na  upande wake wa kulia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi
 Wajumbe wa Mkutano wa Kamati ya Pamoja ya SMT na SMZ waliokutana katika ukumbi wa New Dodoma Hoteli Mjini Dodoma katikakikao cha kawaida cha kuzungumzia masuala ya Muungano na change moto zinazokabili Muungano.
Waziri wa Nchi Omfisi ya Rais Fedha, Uchumi na Mipango ya Maendeleo Zanzibar Mh. Omar Yussuf Mzee akifafanua masuala yua fedha katika mkutano wa Kamati ya Pamoja ya SMT na SMZ Mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad