HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, June 28, 2013

KUMBUKUMBU

MAREHEMU KATALINA STACHUMA SEMSENA
1945-2000

Imetimia miaka 13 tangu ututoke ghafla usiku wa tarehe 28 Juni 2000 wakati bado tulikuwa tunakuhitaji. Ingawaje kimwili umetutoka, kiroho bado tunakukumbuka.

Unakumbukwa na mume wako Mzee ATTILIO LUSINDE MWANG’INGO watoto wako AUDA, Eng. ROMANUS, RITHA, BENJAMIN, DR. GETRUDE, SALOME, DOROTHY , Eng. LILIAN na wajukuu wako Tawela, Antony, Nora, Adam, Eric, Catherine na Silvanus, wakwe zako Mh. Msiska(Mbunge), Lorna, Mary, Eng. Elisante na ndugu wote wa ukoo wa Ng’ingo na Msena..

Tunakukumbuka siku zote kwa upendo wako, mawazo yako yaliyojaa busara, ukarimu na malezi bora. Tulikupenda lakini Mungu alikupenda zaidi.

Tunamwomba Mwenyezi Mungu aiweke roho yako mahali pema peponi Amina.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad