HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, June 6, 2013

Fundi Mitambo huyu Adakwa na Polisi leo jijini Dar

Fundi Mitambo ambaye anadaiwa kuwa ni raia wa Afrika kusini akiwa amekaa chini huku akiendelea na shughuli yake katika moja ya Chemba ya nyaya za mawasiliano ambapo alikuwa akiunganiasha nyaya hizo karibu kabisa na Kanisa la Azania Front jijini Dar es salaam.
Fundi Mitambo akihojiwa na Askari kanzu baada ya kukutwa amefunua Chemba hiyo ya nyaya za mawasiliano.
Askari Kanzu huyo alimuamuru kufunika Chemba hiyo haraka,na fundi mitambo huyo alifanya hivyo bila kupinga.
Baadae akapakiwa kwenye Difenda la Polisi na kwenda nae kituoni kwa mahojiano zaidi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad