HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, May 27, 2013

MRADI MKUBWA WA MAJI KUTOKA MKOA WA PWANI WAANZA KUTEKELEZWA.

Mabomba ya mradi wa kusafirisha maji kutoka Mkoani Pwani yakiwa yametandazwa kwenye barabara ya Bagamoyo tayari yakisubiri kuchimbiwa chini ili kupunguza ama kuondoa kabisa tatizo la maji linalo likabili jiji la Dar es Salaam kama yalivyokutwa na kamera ya mtandao huu leo.
Kazi ya kulaza mabomba ikiendelea.

Mafundi vijana wakitanzania wakiongozwa na mafundi wa kigeni kutoka China ndio walioonekana wakifanya kazi hiyo.
Tukae mkao wa kunywa kazi inaonekana!
Kufanikiwa kwa mradi huu kutaweza kupunguza ama kuondoa kabisa kero ya maji kwa jiji la Dar.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad