HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, May 21, 2013

MAADHIMISHO YA KUMBUKUMBU YA MIAKA 17, YA AJALI YA MV. BUKOBA

 Kumbukumbu zinaonyesha Meli hiyo ilikuwa na uwezo wa kubeba idadi ya watu 430. Kwenye first and second class orodha ya abiria ilikuwa 443 na kwenye third class hakukuwepo rekodi yoyote. Takribani 1000 walifariki kwenye ajali hiyo. Ambapo meli ilizaman umbali wa kilomita 30 kukaribia kutia nanga bandari ya Mwanza.
RIPOTI ya Tume ya Jaji Robert Kisanga, iliyochunguza chanzo cha ajali ya mv Bukoba, inasema usiku wa kuamkia siku ya ajali, meli hiyo ilipakia abiria kati ya 750 na 800 pamoja na wafanyakazi 37.
Kati ya hao, 114 waliokolewa wakiwa hai; wakati 391 waliopolewa wakiwa wamefariki na kuzikwa katika makaburi ya Igoma, nje kidogo ya Jiji la Mwanza. Miili mingine ilichukuliwa na jamaa kuzikwa kwao. Jumla ya miili 332 haikupatikana.

ZAIDI NA ZAIDI GONGA HAPA

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad