HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, May 9, 2013

HII INAITWA AJALI KAZINI

Pikipiki ya Miguu mitatu iliyokuwa imesheheni mikungu ya ndizi ikiwa imepiga mweleka pembeni ya Barabara ya Kawawa,maeneo ya Ilala Boma jijini Dar.chanzo cha mueleka huo ni pale alipopita pembeni ya ya kidimbwi cha maji bila kujua kuwa kuna shimo katika kidimbwi hicho.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad