HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, May 21, 2013

FLAVIANA MATATA ASHIRIKI MISA YA WALIOKUFA KATIKA AJALI YA MELI YA MV BUKOBA

 Flaviana Matata akiwa na Baba yake mzazi (suti nyeusi) katika Misa ya  maombelezo  Ajali ya MV Bukoba ambapo Flaviana alimpoteza Mama yake mzazi, Igoma,Mwanza leo

 Flaviana Matata akiwasha mshumaa ikiwa ni ishara ya kuomboleza katika Makaburi ya Igoma Mwanza walikozikwa baadhi wananchi walopoteza maisha yao miaka 17 iliyopita.
 Flaviana Matata akiwa ofisini kwa Bw. Projest Samson Kaija ambaye ni General Manager wa Marine Services Company ltd ambao hushirikiana nae kila mwaka katika maombolezo ya Ajali hii ambapo mwaka jana aliwapa msaada wa maboya ya kujiokoa
Flaviana Matata akiwa na marafiki na baadhi ya waombolezaji waliopoteza ndugu zao katika ajali hiyo. Picha na Shamim Mwasha

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad