HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, May 20, 2013

CBE Dar na SAUT Mwanza mabingwa Safari Pool

  Mabingwa wa mchezo wa Pool Mkoa wa Dar es Salaam,CBE wakishangilia na kitita cha sh.500,000  mara baada ya kuibuka washidi katika mashindaano hayo yajulikanyo kama Safari Lager Pool Higher Learning Pool Competitio 2013 yaliyomalizika mwishoni mwa wiki Meeda Sinza jijini Dar es Salaam.
Bingwa Mtetezi wa mashindano ya Pool yajulikayo kama Safari Lager Pool Higher Learning Pool Competitio 2013 Mkoa wa Dar es Salaam na Taifa, Peter Patrick akiwa amebebwa na mashabiki mara baada ya kutwaa ubingwa wa Mkoa wa Dar es Saalaam tena wakati wa mashindano hayo yaliyomalizika mwishoni mwa wiki Meeda Sinza jijini Dar es Salaam.
  Nahodha wa timu ya Chuo cha St.Augustine (SAUT),Jimy Nikas akionyesha kitita cha sh.500,000 mara baada ya chuo hicho kutetea ubingwa wa mashindano ya Safari Lager Pool Higher Learning Pool Competitio 2013 Mwanza yaliyomalizika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa Villa Park.
Bingwa  wa mashindano ya Pool yajulikayo kama Safari Lager Pool Higher Learning Pool Competitio 2013 Mwanza,  Vitalis Bakilane akiwa amebebwa na mashabiki mara baada ya kutwaa ubingwa wa Mkoa wa Dar es Saalaam tena wakati wa mashindano hayo yaliyomalizika mwishoni mwa wiki katika Ukumbi wa Villa Park jijini Mwanza.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad