Wavuvi wa Kisiwa cha Kiechuru kilichopo Rufiji mkoani Pwani, wakiandaa nyavu zao tayari kwenda mto Rufiji kwa ajili ya uvuvi. Wananchi wa kisiwa hicho wanategemea uvuvi kujipatia fedha.
Thursday, April 4, 2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment