HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, April 4, 2013

Wavuvi wa Samaki Rufiji mkoani Pwani

Wavuvi wa Kisiwa cha Kiechuru kilichopo Rufiji mkoani Pwani, wakiandaa nyavu zao tayari kwenda mto Rufiji kwa ajili ya uvuvi. Wananchi wa kisiwa hicho wanategemea uvuvi kujipatia fedha.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad