HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, April 21, 2013

NSSF, GYMKHANA HAKUNA MBABE

 Kikosi Kamili cha timu ya soka ya Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya mcherzo wa na Gymkhana jijini Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya mabao 3-3
Kikosi cha timu ya soka ya Gymkhana.
Mshambuliaji wa timu ya soka ya NSSF, Patrick Gandye akiwania mpira huku akizongwa na beki wa timu ya  Gymkhana,  Hayssam Srour.
 Clementi Sanga akiambaa na mpira huku akifuatiliwa kwa karibu na mchezaji wa NSSF, Kitwana Kidatu.
 Baadhi ya wafanyakazi wa NSSF wakifuatilia mchezo huo.
Kiungo wa timu ya Gymkhana, Clement Sanga ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Yanga akitafuta mbinu za kumtoka beki wa NSSF, Saleh Biboze wakati wa mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad