HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, April 25, 2013

MDAU EDWIN MOSHI

Habari wadau
Anaitwa Edwin Moshi a.k.a Eddymoblaze.
Ni mwanalibeneke  anayemiliki mtandao wa:
Anapenda kuchukua fursa hii kumshukuru mwenyezi Mungu kwa kumfikisha salama siku ya leo Jumatano April 24 ambapo anaadhimisha siku yake ya kuzaliwa. Kwa wanalibeneke wenzie anawashukuru kwa ushirikiano wao katika hili bila kusahau familia yake

Happy birthday Edwin Moshi!

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad