HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, March 15, 2013

Washindi wa Burudika na Tigo wapewa zawadi zao

Mtaalam wa bidhaa za burudani za Tigo Bi. Pamela Shelukindo akimkabidhi bw. Harold Hosea kamera ya digitali yenye thamani ya tsh. 800,000 aliyojishindia kwenye promosheni ya Burudani na Tigo
Mtaalam wa bidhaa za burudani za Tigo Bi. Pamela Shelukindo akimkabidhi bw. Meritus Ishaballu kamera ya digitali yenye thamani ya tsh. 800,00 aliyojishindia kwenye promosheni ya Burudani na Tigo(huyo mwenye kofia babu) Promosheni ya Burudika na Tigo mtumiaji anatakiwa kutuma neno SHINDA,MAWILI,MAPENZI,AKIBA, na IMANI kwenda 15655 anakuwa ameingia kwenye droo ambayo atajishindia kamera ya digitali yenye thamani ya tsh. 800,000

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad