HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, March 17, 2013

Wapiganaji wakutanapo

Toka kushoto ni Mdau Shaban Tole (ITV),Josephat Lukaza (Lukaza Blog),Jeff Msangi (Bongo Celebrity Blog),Cathbert Kajuna (Kajunason Blog),Ahmad Michuzi a.k.a Blaza (Jiachie Blog),Mie nanihii (Mtaa kwa Mtaa Blog) pamoja na Alvin Sanga (Bongo5) tulipokutana wikiendi moja kwa kubadilishana mawazo ya hapa na pale.Libeneke Oyeeeee........ maana bila Libeneke hata tusingekutana hivi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad