HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, March 1, 2013

WAFANYAKAZI IKULU WASHEREHEKEA SIKU YA MAZINGIRA AFRIKA KWA KUFANYA USAFI

 Naibu Katibu Mkuu Ikulu Mama Suzana Mlawi na Mkurugenzi wa Huduma Ikulu Bw. Julius Mogore  leo wameongoza shughuli za usafi kuzunguka maeneo ya Ikulu jijini Dar es salaam katika kuadhimisha Siku ya Mazingira Afrika. Siku hiyo itaadhimishwa kitaifa siku ya Jumapili.
 Wafanyakazi wa kila kada bila kujali wadhifa wakifanya kazi bega kwa bega kuadhimisha Siku ya Mazingira Afrika kwa kufanya usafi
 Kazi ikiendelea kwa tabasamu
 Kila mtu alitoka ofisini na kushika ufyagio 
Kazi nzuri...

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad