HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, March 17, 2013

VIONGOZI WA CHAMA CHA WAFANYAKAZI WALINZI BINAFSI NCHINI (TUPSE) WAMTEMBELEA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (kushoto) akizungumza na viongozi wa Chama cha Wafanyakazi Walinzi Binafsi nchini (TUPSE) ofisini kwake masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya chama hicho na wizara yake. Kulia ni Katibu wa Kanda ya Dar es Salaam, Etimas Msamba, Katibu Msaidizi, Oscar Muyeya na Kaimu Katibu Mkuu, Agustino Rupia.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Chama cha Wafanyakazi Walinzi Binafsi nchini (TUPSE) ofisini kwake  jijini Dar es Salaam.

PICHA ZOTE NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad