Meneja
wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo akiwanyesha waandishi wa
habari (hawapo pichani) namna ya kupata fomu kwa njia ya mtandao wa www.wezeshwa.co.tz
baada ya kusogeza mbele zoezi la kurudisha fomu za program ya Safari
Lager Wezeshwa wakati wa mkutano uliofanyika leo jijini Dar es
Salaam.Kulia ni Jaji Mkuu wa Programu hiyo, Joseph Migunda.
Wednesday, March 27, 2013

Home
Unlabelled
SAFARI LAGER YASOGEZA MBELETAREHE YAKURUDISHA FOMU ZA PROGRAMU YA “SAFARI LAGER WEZESHWA”
SAFARI LAGER YASOGEZA MBELETAREHE YAKURUDISHA FOMU ZA PROGRAMU YA “SAFARI LAGER WEZESHWA”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment