HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, March 14, 2013

Rais Kikwete azindua jengo la kitivo cha sayansi chuo kikuu cha kiislamu cha morogoro


 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizindua jengo la Kitivo cha Sayansi katika Chuo Kikuu cha Kiislamu mjini Morogoro leo
 Rais Kikwete akipeana mikono na Bw Ahmed Saggaf
 Rais Kikwete akitembelea moja ya vyumba vya maabara
 Rais Jakaya Kikwete akipata maelezo ya ujenzi wa jengo la kitivo cha TEKNOHAMA katika Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Morogoro
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizindua jengo la Kitivo cha Sayansi katika Chuo Kikuu cha Kiislamu mjini Morogoro leo
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua jengo la Kitivo cha Sayansi katika Chuo Kikuu cha Kiislamu mjini Morogoro leo.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia katika sherehe za uzinduzi wa jengo la Kitivo cha Sayansi katika Chuo Kikuu cha Kiislamu mjini Morogoro leo
 Rais Kikwete akiendelea na hotuba huku akishangiliwa.
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kiislamu Morogoro Mama Mwantumu Malale akiongea machache na kumkaribisha Rais Kikwete.
 Makamu Mkuu wa Chuo Profesa Hamza Mustafa Njozi akisoma ripoti  ya chuo kwa Rais Kikwete.
Sehemu ya wanafunzi na wageni waalikwa.
 Sehemu ya wanafunzi.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya pamoja na uongozi wa chuo katika sherehe za uzinduzi wa jengo la Kitivo cha Sayansi katika Chuo Kikuu cha Kiislamu mjini Morogoro leo.
 Profesa Juma Mikidadi Mtupa akikaribishwa kupata picha na mheshimiwa
 Picha na wahadhiri
 Picha na viongozi wa wanafunzi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad