HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, March 11, 2013

Mshindi wa nne wa DStv Rewards apatikana

Mshindi wa nne wa DStv Rewards Bwana Edward Hiza Mhina (katikati) akipotea hundi ya shilingi milioni tano (5,000,000/=). Kulia ni Meneja Uhusiano wa MultiChoice Tanzania, Barbara Kambogi na Meneja wa Fedha wa kampuni hiyo, Francis Senguji. DStv inatoa kila wiki Tshs 5,000,000 kwa wateja wake ambao watalipia malipo ya mwezi ya akaunti zao za DStv kabla ya kukatika.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad