HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, March 5, 2013

MH LOWASSA ATOA POLE MSIBA WA BENSON MOLLEL JIJINI ARUSHA

Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akitoa pole kwa mama mzazi wa Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana CCM,Marehemu Benson Mollel aliyefariki dunia katika mazingira ya kutatanisha katika hoteli moja jijini Arusha.
Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa akiwapa pole baadhi ya ndugu na jamaa wa marehemu Benson Mollel wakati alipofika nyumbani kwa Marehemu,Daraja Mbili Jijini Arusha jana.
Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akiwa na mwenyekiti wa CCM Monduli  Ruben Kunei (kulia) na mjumbe wa halmashauri kuu taifa NEC Mathias Manga (kushoto) wakati walipohudhulia msiba huo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad