HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, March 20, 2013

KUMBUKUMBU

MAREHEMU THEREZA DANIEL KAPONGO

Tarehe 20/03/2013 unatimia mwaka mmoja tangu mpendwa wetu mama ulipoiaga dunia hii na kwenda kwa Baba yetu mbinguni. Tunaamini kimwili hauko nasi lakini kiroho tunakukumbuka daima mpendwa wetu. Upendo wako kwa familia hautasahaulika kamwe na hakuna wa kuliziba pengo lako.

Unakumbukwa daima na watoto wako Juliana, Celestin, Deocal, Renatus, Alex, Agatha na Vicent; wakwe zako; wajukuu zako, vitukuu na wadogo zako.

Kutakuwa na Misa ya kumwombea marehemu siku ya Jumapili tarehe 24-03-2013 katika kanisa la Parokia ya Mtakatifu Isidori Bakanja, Boko. Wote mnakaribishwa.

Raha ya Milele Umpe eeeh Bwana na Mwanga wa Milele Umuangazi Apunzike kwa Amani 

– Amina

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad