HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, March 2, 2013

KILIMANJARO MARATHON MAMBO YAMEIVA SASA

 Maandalizi ya Mbio za Nyika  za Kilimanjaro Maarufu kama Kilimanjaro Marathon 2013 yanafikia kiele hii leo na kesho ndio kivuvumbi na jasho wakati maelfu ya wanariadha na watu wa kawaida wakitimua vumbi katika mbio hizo zinazofanyika katiua mji wa Moshi mkoani Kilimanjaro.

Pichani ni baadhi ya wakimbiaji wakijiandikisha kwaajili ya kushiriki mbio hizo zitakazo fanyika Machi 3,2013 mjini Moshi na zitakuwa za makundi mbalimbali 42KM, 21KM na 5km Fun Run.
 Makundi mbalimbali katika Jamiui nayo yanashiriki ikiwa ni pamoja na walemavu ambao pichani wakiwa katika banda la kujiandikishia.
 Maofisa watakao simamia Mbio hizo Machi 3, 2013 wakiwa Uwanja wa Ushirika Mjini Moshi kuchukua vifaa.
 Mbio za kujifurahisha kwa watoto na watu wazima zipo na hapa wakijiandikisha.
 Baadhi ya wadhamini wakiwa tayari wamesha pamba mabanda yao ndani ya Uwanja wa Ushirika Mjini Moshi.
Mitaani napo Mabango ya Mbio hizo yamewekwa.Picha na Father Kibevu Blog

1 comment:

  1. nimeshaanza matizi, mwakani nami nitashiriki! Tena nimekumbuka, Heri ya siku yako ya kuzaliwa @ Michuzi Jr.

    Mama Malaika
    UK

    ReplyDelete

Post Bottom Ad