HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, March 10, 2013

HABARI Group YAFANYA HARAMBEE NA KUFANIKIWA KUKUSANYA ZAIDI YA MILIONI SITA

Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki katikati akichangia katika harambee ya kikundi cha Habari Group ambao ni waandishi wa Habari waliojikusanya kwa ajili ya kujikwamua kiuchumi na pia kuhudumia jamii isiyojiweza.kikundi hicho kinaendeshwa chini  ya jumuiya ya kukuza uchumi Ilala 'Jukuila' kikundi hicho kimezinduliwa March 8 na Mlezi wake ni Naibu Waziri wa Katiba na Sheria,Mh. Angella (katikati).Uzinduzi huo ulidhaminiwa na Mfuko wa Pesheni wa PPF pamoja na Hotel ya Lamada.kushoto ni mratibu wa hafla hiyo Bi, Rabia Bakari.
Mratibu wa Kikundi ya HABARI Group Bi.Rabia Bakari akikabidhi risara ya kikundi hicho kwa Mgeni Rasmi,Mh. Balosi Khamis Kagashekiwakati wa uzinduzi.
Wana kikundi cha Habari Goup wakijitambulisha mbele ya mgeni rasmi. 
WAANDISHI WA HABARI WA VYOMBO MBALIMBALI VYA HABARI AMBAO NI WANACHAMA WA HABARI Group
WANACHAMA WA HABARI Group WAKICHEZA KWA SHANGWE
Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki kushoto akiangalia baadhi ya dokomenti picha na Burudan Blog.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad