HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, March 3, 2013

BancAbc yadhamini Mashindano ya Gofu jijini Dar

Naibu Mkurugenzi Mkuu wa BancAbc, Misheck Ugaro akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa mashindano ya mchezo wa gofu yaliyodhaminiwa na BancAbc katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam jana.
Naibu Mkurugenzi Mkuu wa BancAbc, Misheck Ugaro akipiga mpira wakati wa uzinduzi wa mashindano ya mchezo wa gofu yaliyodhaminiwa na BancAbc katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam jana.
Mchezaji wa Gymkhana Club, Mo Khimji akipiga mpira wakati wa uzinduzi wa mashindano ya mchezo wa gofu yaliyodhaminiwa na BancAbc katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam jana.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad