HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, February 14, 2013

Watanzania wahudhuria tamasha la Feel the Beat of Sub Zero jijini Johannesburg lililodhaminiwa na bia ya Castle Lite

Watanzania waliohudhuria tamasha la Feel the Beat Sub Zero jijini Johanesburg  lililodhaminiwa na bia ya Castle Lite, ambao ni washindi wa kupitia Castle Lite Facebook – Edger Marumbo (mwenye T shirt nyeusi) akiwa na kaka yake Christopher Marumbo mwenye t shirt ya blue ya mistari, Mshindi kupitia Choice FM – Eric Massinda, mwenye T shirt ya njano na miwani, aliyeongozana na rafiki yake Alex Galinoma, mwenye T shirt ya njano na Caroline Lupilli, aliyevaa koti nyekundu akiwa na dada yake Ellen Lupilli, mwenye kijaketi cha kijivu wakiwa Air Port kuelekea Afrika kusini.
Watanzania waliohudhuria tamasha la Feel the Beat Sub Zero wakiwa kwenye picha ya pamoja na Brand Manager wa Castle Light Pamela Kikuli (wanne kulia).
Wakipata Chakula.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad