Watoa huduma wa kampuni ya mawasiliano ya Vodacom wakiwahudumia wateja eneo la Buguruni Sokoni jijini Dar es Salaam jana wakati Vodacom Tanzania walipokuwa wakifanya promosheni ya kuwajuza wananchi pamoja na wateja wake kuwa imeboresha mtandao kwa ajili ya kuwafikia wananchi mahali popote Tanzania.
Sehemu ya wananchi walijitokeza karibu na gari la matangazo la kampuni ya mawasiliano ya Vodacom eneo la Buguruni Sokoni jijini Dar es Salaam jana wakati wa zoezi la kugawa laini na kuwasajili wateja papo hapo pia kuwawezesha kutumi huduma ya M-PESA.
Mtoa huduma wa kampuni ya mawasiliano ya Vodacom akimwelekeza jambo mteja eneo la Buguruni Sokoni jijini Dar es Salaam jana wakati
Vodacom Tanzania walipokuwa wakifanya promosheni ya kuwajuza wananchi
pamoja na wateja wake kuwa imeboresha mtandao kwa ajili ya kuwafikia
wananchi mahali popote Tanzania.
Mtoa
huduma wa kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Najma Rashid akiwahudumia
wateja eneo la Buguruni Sokoni jijini Dar es Salaam jana wakati
Vodacom Tanzania walipokuwa wakifanya promosheni ya kuwajuza wananchi
pamoja na wateja wake kuwa imeboresha mtandao kwa ajili ya kuwafikia
wananchi mahali popote Tanzania.

.jpg)
.jpg)


No comments:
Post a Comment