HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, February 13, 2013

UKUMBI MPYA WAFUNGULIWA NDANI YA JENGO JIPYA LA WORLD GARDEN ARUSHA

 Jengo la World Garden maeneo ya Mushoni jijini Arusha 
 Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe Magesa Mulugo akiwasili eneo la jengo la World  Garden ili  jengo hilo  ambalo lina kumbi za mikutano pamoja na ukumbi mkubwa wa Disco ambapo inadaiwa kwa uapande wa Afrika mashariki na kati hamna jengo kama hilo 
 Kwa ubavuni
 Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. Magesa Mullongo akizindua rasmi ukumbi huo wa disco uliopo Mushono ndani ya jiji la Arusha
 Ukumbi wa disko unaosemekana ni mkubwa kuliko yote Afrika Mashariki na kati. Picha na Woinde Shizza wa Globu ya Jamii, Arusha

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad