Mwenyekiti wa Tamasha la Pasaka, Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam, mwishoni mwa wiki wakati akitangaza uzinduzi wa tamasha hilo la Pasaka kwa mwaka huu wa 20 13 litakaloanza kufanyika hapa nchini hivi karibuni.
Sunday, February 10, 2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment