Kamera ya yetu ya Mtaa kwa Mtaa ilimnasa Kijana huyu akidandia Lori la Mchanga ambalo ndani yake kuna watu wengine katika maeneo ya Kongowe,Jijini Dar es Salaam.Hali hii ni ya hatari sana hasa katika swala zima la Usalama.
Thursday, February 21, 2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment