Katika pita pita zangu za kuhakikisha libeneke la Mtaa kwa Mtaa linaendelea kusonga,nikajikuta mitaa hii na kukuta chem chem hii imefurika huku kukiwa hakuna mtu anaehangaika na chem chem hiyo,sasa sijui ndio wameigomea au hawataki tu kuishughulikia?
Saturday, February 9, 2013
Home
Unlabelled
Chem Chem hii haiwezekani kusshughulikiwa??
Chem Chem hii haiwezekani kusshughulikiwa??
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




No comments:
Post a Comment