Maafisa wa TRA wakishirikiana na Askari Polisi jijini Dar es Salaam,leo wamefanya msako mkali na kufanikiwa kuzikamata Pikipiki zinazofanya biashara ya kupakia abiria maarufu kama Bodaboda ambazo zilikuwa zikikatika mtaa wa Aggrey jijini Dar es Salaam na kuzipakia kwenge magari na kwenda nazo sehemu husika ili muhusika aweze kuzilipia.
Wednesday, February 27, 2013

Home
Unlabelled
Boda Boda zinazokwepa kodi zaanza kudakwa jijini Dar
Boda Boda zinazokwepa kodi zaanza kudakwa jijini Dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment