Meneja Usambazaji wa Samsung Mobile Tanzania, Sylvester Manyara(katikati) akisoma zawadi ya mshinndi wa kwanza wa TV nchi 40 yenye thamani ya shilingi milioni mbili na nusu.Kushoto ni Msimamizi wa Bahati na sibu Tanzania, Abdalah Hemed na Mkufunzi wa Samsung Tanzania, Joel Laizar Dar es Salaam.
Meneja
Usambazaji wa Samsung Mobile Tanzania, Sylvester
Manyara(kushoto),Msimamizi wa Bahati na sibu Tanzania, Abdalah Hemed na
Mkufunzi wa Samsung Tanzania, Joel Laizar wakionyesha zawadi za washindi
mara baada ya kuchezesha droo ya Samsung ya msimu wa sikuu ya X’mass na
Mwaka mpya Dar es Salaam.Zawadi zote zinathamani ya shilingi milioni 6.
Meneja
Usambazaji wa Samsung Mobile Tanzania, Sylvester Manyara akizungumza na
waandishi wa habari wakati wa kuchezesha droo ya Samsung ya msimu wa
siku kuu ya X’MASS NA mwaka mpya jijini Dar es Salaam leo.
No comments:
Post a Comment