Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda akimuuliza kijana aliekuwa akiuza nyama ya kuchoma aliekuwepo kwenye Kata hiyo ya Makuburi wakati alipokuwa katika ziara ya kuzindua ujenzi wa Barabara ya Makoka yenye urefu wa Kilometa 3.7 hivi karibuni.
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda (kulia) akizungumza na Mmoja wa Waendesha boda boda aliekuwepo kwenye moja ya vituo vyao katika Kata ya Makuburi wakati alipokuwa katika ziara ya kuzindua ujenzi wa Barabara ya Makoka yenye urefu wa Kilometa 3.7 hivi karibuni.
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda (kulia) akipewa maelezo na Diwani wa Kata ya Makuburi, William Mwangwa (kushoto) kuhusu ujenzi wa Barabara ya Makoka yenye urefu wa Kilometa 3.7 kwa gharama ya Sh milioni 300 wakati alipofanya ziara katika barabara hiyo, Dar es Salaam jana. Wengine ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ujenzi, Abbas Tarimba (wa pili kushoto) na Mhandisi wa Manispaa ya Kinondoni, Gerald Urio. (Picha na Fadhili Akida).
No comments:
Post a Comment