Hii ni Barabara ya Tabata Dampo ikiwa imejaa tope rojo rojo huku magari yakishindwa kupishana.
Mafundi wa Magari katika gereji zilizopo Tabara Dampo wakipata kitu roho inapenda.
hapa ni mpakani kwa Tabata Dampo na Kigogo.
Kibao cha Amri ya Polisi.
hapa hata sijui nielezee nini??
Lori linapokwama kwenye kingo za barabara katika eneo la Magomeni.
No comments:
Post a Comment