HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, January 4, 2013

hapa vipi tena jamani???

 Kamera ya Mtaa kwa Mtaa ikiwa katika kulendeleza Libeneke lake,imepita Mitaa ya Kinondoni B karibu kabisa na Kiwanja cha Biafra na kukuta Barabarani kumewekwa namna hii huku kukiwa hakuna mtu hata mmoja anaeonekana akifanya kazi yeyote katika eneo hili.sijafahamu kwa huu ni utaratibu mpya wa kuongeza msongamano wa magari au ni vipi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad