HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, December 10, 2012

SHEKINAH GARDEN YA MBEZI WAAGA MWAKA KWA SHANGWE.

Eneo la Mapokezi lilivyopambwa wakati wa sherehe ya kuaga mwaka iliyofanywa na ShekinaGarden Mbezi jijini Dar es Salaam jana usiku.
Meza zilipendeza vema.
Wadau wa Garden kwenye picha.
Washindi waliovaa vizuri na kutokelezea ni Laurence Mafuru (kushoto) na Mywife wake katikati wakikabidhiwa zawadi na mmoja wa viongozi wa Garden hiyo.
Mshiriki wa shindano la kuimba Esther Matley akionyesha ujuziwake.
Baadae watu wakajimwaga viwanjani kwa burudani iliyoshushwa na Tanzanite Band.


Mwenyekiti wa Garden hiyo Pantaleo Shirima akikaribisha wageni.
Hawa ndio waliopendezesha sherehe hiyo kwa huduma ya mapokezi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad