HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, December 5, 2012

NAIBU WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA AZINDUA MAADHIMISHO YA SIKU YA HAKI DUNIANI

Mjumbe wa Sekretarieti ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bw. Andrew Eriyo akitoa ufafanuzi wa kazi na majukumu mbalimbali ya Tume hiyo kwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Angellah Kairuki (kushoto) wakati alipotembelea banda la Tume hiyo leo (Jumatano Disemba 5, 2012) katika maadhimisho ya siku ya Haki za Binadamu zinazoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam.
Mjumbe wa Sekretarieti ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Amour Kagya (kulia) akigawa nakala ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano na machapisho mbalimbali yanayotolewa na Tume hiyo kwa wananchi waliotembelea banda la Tume hiyo leo (Jumatano Disemba 5, 2012) wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya siku ya Haki za Binadamu Duniani zinazofanyika kitaifa katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad