Ndani
ya Libeneke Pub utakutana na muziki laini ,rege ,ngwasuma pamoja na
miziki mingi mbalimbali pia kuna wapishi waliobobea kwa supu ya
makongoro mchemsho wa kuku mishikaki bila kusahau chips zilizoenda
shule wadau mnakaribishwa libeneke pub sakina jijini Arusha
No comments:
Post a Comment