Meneja uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando akifafanua jambo wakati wa uzinduzi wa promosheni mpya ya Airtel "AMKA MILIONEA" .kulia ni Meneja Huduma za Ziada Airtel,Francis Ndikumwami na Kushoto ni Afisa Mahusiano na Matukio wa Airtel,Dangio Kaniki.kujiunga na promosheni hiyo mteja atatakiwa kutuma neno SHINDA au WIN kwenda namba 15595 bure na atapokea maswali atakayoyajibu na kukatwa sh 350 kila sms na kupata point zitakazomuwezesha kushinda.
Tuesday, December 4, 2012

Home
Unlabelled
Airtel yazindua promosheni mpya kwaajili ya wateja wake mwisho wa mwaka 2012
Airtel yazindua promosheni mpya kwaajili ya wateja wake mwisho wa mwaka 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment