HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, November 4, 2012

Redd's Miss Tanzania Ndani ya Blue Peal Ubungo Plaza usiku huu


 Washereheshaji katika Onyesho la kumsaka Mlimbwende wa Redd's Miss Tanzania 2012 usiku huu ndani ya Ukumbi wa Hoteli ya Blue Peal,Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Taji Liundi na Kulia ni Jokate Mwegelo.
 Warembo wa Redd's Miss Tanzania wakionyesha show yao mbele ya Watanzania katika Ukumbi wa Hoteli ya Blue Peal,Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam,usiku huu.
 Warembo wakipita katika jukwaani na Mavazi ya Ubunifu.
 Burudani ya Ngoma za Asili kutoka kwa Kundi la Wanne Star.
 Wadau wa Miss Tanzania wakibadilishana Mawazo.
 Wanahabari kazini.
Wadau kibao ndani ya Ukumbi wa Hoteli ya Blue Peal,Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam usiku huu.
 Watu kibao ndani ya Ukumbi wa Hoteli ya Blue Peal,Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.
Wanalibeneke mzigoni kama kawaida.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad