HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, November 14, 2012

Falcon na Zimamoto zatoshana nguvu katika Mchezo wa Ligi Kuu ya Grand Malt Zanzibar.

Aly Suleiman Kalulu wa Falcon (kushoto) akidhibiti mpira wakati wa mchezo wa ligi kuu ya Grand Malt ya Zanzibar, uwanja wa Amaan jana.Falcon 2 na Zimamoto 2.
Mshambuliaji wa Falcon, Othman halid akichuana na mlinzi wa Zimamoto, Juma Ali,katika mchezo wa ligi kuu ya grand Malt ya Zanzibar jana kwenye uwanja wa Amaan.Falcon 2 na Zimamoto 2.
Wachezaji wa Zimamoto (kushoto) wakililinda lango lao dhidi ya Falcon katika mchezo wa Ligi kuu ya Grand Malt ya zanzibar, uwanja wa Amaan jana.Falcon 2 Zimamoto 2.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad