HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, October 22, 2012

TANZIA - Mamlaka ya Elimu Tanzania


Uongozi wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) unasikitika  kutangaza kifo cha AFISA HABARI WAKE  bibi Caroline W. Manoni, kilichotokea tarehe 20/10/2012 katika hospitali ya Aga Khan, Dar Es Salaam.

maandalizi ya mazishi na  msiba yanafanyika nyumbani kwa marehemu   Mbezi beach karibu a msikiti wa Akram/ nyuma ya ambrosia restaurant.
Taarifa ziwafikie wafanyakazi wa wote wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), wafanyakazi wa Tanga Cement popote walipo, familia yote ya Madafa, familia yote ya Manoni na ukoo wa Uduhe, popote pale walipo

Mazishi yatafanyika siku ya jummanne tarehe  23 Oktoba 2012, katika makaburi ya kinondoni saa 9.00 mchana baada ya Misa itakayofanyika katika kanisa katoliki Mt. GAPER DEL BUFFALO MBEZI BEACH  SAA 7.30 MCHANA.

Bwana ametoa, Bwana ametwaa,

Jina la Bwana Lihimidiwe.

AMEN

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad