Uongozi wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) unasikitika kutangaza kifo cha AFISA HABARI WAKE bibi Caroline W. Manoni, kilichotokea tarehe 20/10/2012 katika hospitali ya Aga Khan, Dar Es Salaam.
maandalizi ya mazishi na msiba yanafanyika nyumbani kwa marehemu Mbezi beach karibu a msikiti wa Akram/ nyuma ya ambrosia restaurant.
maandalizi ya mazishi na msiba yanafanyika nyumbani kwa marehemu Mbezi beach karibu a msikiti wa Akram/ nyuma ya ambrosia restaurant.
Taarifa
ziwafikie wafanyakazi wa wote wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA),
wafanyakazi wa Tanga Cement popote walipo, familia yote ya Madafa,
familia yote ya Manoni na ukoo wa Uduhe, popote pale walipo
Mazishi yatafanyika siku ya jummanne tarehe 23 Oktoba 2012, katika makaburi ya kinondoni saa 9.00 mchana baada ya Misa itakayofanyika katika kanisa katoliki Mt. GAPER DEL BUFFALO MBEZI BEACH SAA 7.30 MCHANA.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa,
Bwana ametoa, Bwana ametwaa,
Jina la Bwana Lihimidiwe.
AMEN
No comments:
Post a Comment