HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, October 28, 2012

TAARIFA YA MSIBA

Ndugu Lipina Macdonald Lemunge wa Arusha na Mkami Nyagwa Malecela wa Dar es salaam, wanasikitika kutangaza kifo cha mama yao mpendwa Lucy Adam Samilla (MAMA LUCY) wa Arusha -pichani- KilichotokeaTarehe 26/10/2012 huko Arusha. 

 Mazishi yatafanyika siku ya Jumatano 31/10/2012 katika makaburi ya NJIRO, Arusha. Msiba uko nyumbani kwa marehemu Haile Selassie Road Arusha. 

 Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe - Amina Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na:- 

Lipina Lemunge 0767 888 774 
 Mkami Nyagwa 0713 333 038

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad