HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, October 1, 2012

SEND OFF YA WINIFRIDA MAGANGA YAFANA.

Winnifrida Maganga Bi harusi mtarajiwa akiwa na Bwana harusi mtarajiwa, Deus Kessy aliyekuja Tanzania kwenye Send Off party ya Mkewe mtarajiwa iliyofanyika Lanham, Maryland Jumamosi Sept 29, 2012. Harusi itafanyikia Arusha Tanzania

Juu na chini ni Bi Harusi mtarajiwa na mpambe wake pamoja na ndugu, jamaa na marafiki walioambatana nae wakiwasili na Limo 

Wazazi wa Bi harusi mtarajiwa Brigedia Jenerali Emmanuel Maganga na Mkewe Love Maganga
Bi harusi akiletwa ukumbini huku akiwa amefichwa kwa mila za kinyamwezi ni lazima bwn. harusi mtarajiwa amtambue ama sivyo iabidi apigwe faini.
Bi Harusi mtarajiwa akiwa amefichwa
Shangazi wa Bi harusi mtarajiwa Aunty Baby Mgaza akitoa maelezo kwa wakwe kwamba wakishindwa kumfichua watapigwa faini ya $200
Bwn. Harusi mtarajiwa afanikiwa kumfichua bila kukosea
Kutoka kushoto ni Bwn. Shariff Hassan Maajar, mume wa Mhe. Balozi Mwanaidi Maajar, Love Maganga na Brigedia Jenerali maganga


Kushoto ni Bwn. na Bibi Missana, Bwn. Shariff Hassan Maajar, Love Maganga, Brigedia Jenerali Maganga na Aunty Baby Mgaza.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad