Meneja
wa NMB Kanda ya Ziwa, Straton Chilongola (kushoto) akikabidhi moja ya
madawati 100 yaliyotolewa na NMB yenye thamani ya shilingi milioni 5 kwa
Afisa Elimu wa wilaya ya Busega,Mwita Chogoro kwa ajili ya Shule za
Msingi Muungano,Nyamatembe na Mwamkinga ikiwa ni msaada uliyotolewa na
benki ya NMB.
Meneja
wa NMB Kanda ya Ziwa, Straton Chilongola (kushoto) akikabidhi moja ya
madawati 50 yenye thamani ya shilingi milioni 5 kwa mkuu wa Shule ya
Msingi Muungano,Maswali Buyunge ikiwa ni sehemu ya msaada uliotolewa na
NMB kwa shule hiyo.
Wanafunzi
wa Shule ya Msingi Muungano iliyopo kijijini Kirejeshi,wilaya ya Busega
mkoani Simiyu,wakiwa wameketi katika baadhi ya madawati 50
waliyokabidhiwa na benki ya NMB ikiwa ni msaada wa benki ya NMB kwa
shule hiyo.
Meneja
wa benki ya NMB Rorya,Penina Kiranga ( kati) akikabidhi vifaa ikiwa ni
sehemu ya madawati 50,meza 19 pamojanaviti 19 vyenye thamani ya shilingi
5 milioni kwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Sota Bw.Steven Dhaje
(pilikushoto) iliyopo Rorya, Mara. Wakishuhudia ni Meneja wa NMB Kanda
ya Ziwa, Straton Chilongola, (Kulia) Afisa wa benki na Mwalimu wa
Shulehiyo.
Meneja
wa NMB Kanda ya Ziwa , Straton Chilongola akiwasalimia wanafunzi wa
Shule ya Msingi Sota iliyopo Rorya mkoani Mara,baada ya kuwakabidhi
madawati,meza pamoja na viti nyenye thamani ya shilingi milioni tano.
No comments:
Post a Comment