Wananchi
wa kutoka maeneo mbalimbali wa jiji la Dar Es Salaam wakishuhudia bango
lenye tangazo la bia ya Ndovu Special Malt lilivyofanikiwa kuwekwa
katika teknolojia ya hali ya juu zaidi na ya Kwanza Nchini Tanzania ya
3D ambayo inamfanya mtu kuweza kuona picha zilizopo kwenye bango hilo
kwa ukaribu mkubwa na ubora Zaidi.Bango hilo lipo eneo la Conner Bar
Sinza
jijini Dar es Salaam ambapo watu wanazidi kumiminika kushuhudia bango
hilo linalodhihirisha ubora na usahihi mkubwa wa Bia ya Ndovu Special
malt.Tangazo la Ndovu Special Malt la 3D…Ni la kwanza Tanzania na lipo
katika kiwango tofauti sana kinachoweza kumfanya mtu na mpenzi wa bia
hiyo kupata wasaaa wa kuona kile kinachoifanya bia hiyo kuwa tofauti na
ya kimataifa zaidi
Monday, October 22, 2012

Home
Unlabelled
Ndovu Special Malt na muonekano wa Bango la 3D
Ndovu Special Malt na muonekano wa Bango la 3D
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment