HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, October 22, 2012

Ndovu Special Malt na muonekano wa Bango la 3D


Wananchi wa kutoka maeneo mbalimbali wa jiji la Dar Es Salaam wakishuhudia bango lenye tangazo la bia ya Ndovu Special Malt lilivyofanikiwa kuwekwa katika teknolojia ya hali ya juu zaidi na ya Kwanza Nchini Tanzania ya 3D ambayo inamfanya mtu kuweza kuona picha zilizopo kwenye bango hilo kwa ukaribu mkubwa na ubora Zaidi.Bango hilo lipo eneo la Conner Bar Sinza jijini Dar es Salaam ambapo watu wanazidi kumiminika kushuhudia bango hilo linalodhihirisha ubora na usahihi mkubwa wa Bia ya Ndovu Special malt.Tangazo la Ndovu Special Malt la 3D…Ni la kwanza Tanzania na lipo katika kiwango tofauti sana kinachoweza kumfanya mtu na mpenzi wa bia hiyo kupata wasaaa wa kuona kile kinachoifanya bia hiyo kuwa tofauti na ya kimataifa zaidi

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad