HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, October 17, 2012

FABAK FASHION NDANI YA EAST AFRICA CHAMBER OF COMMERCE



 Mama wa Mitindo nchini Tanzania Bi. Asia Khamsin na mai hazbendi  wake Kaka Fifte wapo tayari kwa Fashion Show hapa Dallas, TX Usiku wa leo katika East Africa Chamber of Commerce.
 Asia Khamis akipata ukodak na Dr. Mary Nagu, Dr. Mary Nagu nae kaja kuhuzuria East Africa Chamber of Commerce
 Dr. Mary Nagu akitabasamu baada ya kupenda kazi ya Asia, Dr. Alinunua Dress hii yenye rangi ya Chama inaweza kumfaa pale atakapo kuwa anawatembelea wapiga kula wake kule Anang'i, 
 Hapa Asia akipa picha na mama Kasora katikati
Watu wakiangalia kazi ya Asia  usiku huu atafanya Fashion Show kuonesha kazi yake kwa wana East Africa.Picha na DJ Luke wa Vijimambo Blog

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad