HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, September 19, 2012

SHY-ROSE AICHANGIA TAMWA MILIONI 2

  Mkurugenzi Mtendaji wa Chama Cha Waandishi wa Habari Wanawake nchini (TAMWA) Ananilea Nkya, akimkaribisha Mbunge wa Afrika Mashariki Shy-Rose Bhanji katika Ofisi za TAMWA.
 Mbunge wa Afrika Mashariki Shy-Rose Bhanji akimkabidhi kiasi cha Shilingi milioni mbili, Mkurugenzi Mtendaji wa Chama Cha Waandishi wa Habari Wanawake nchini (TAMWA) Ananilea Nkya, ikiwa ni mchango wa mbunge huyo kwa TAMWA katika kuendeleza harakati zake nchini.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad