HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, August 10, 2012

Unajua kinachouzwa hapao??

 Basi kama hujui naomba kukujuza.haya ni mafuta aina ya petroli ambayo wahusika hapa wanaenda kwenye kituo cha mafuna na kununua kwa wingi na kuiweka kwenye vikopo hivi ambavyo vina ujazo wa lita moja kwa kila kimona ili kuweza kuwauzia watu wa boda boda.hali hii imefikiwa na wahusika hao ili wasipate tabu ya kwenda umbali mrefu kwa ajili ya kununua mafuta.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad