Mabondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' kushoto akioneshana ufundi wa kutupa masumbwi na Mussa Sunga wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Ilala wakisimamiwa na Kocha wa mchezo uho Kimataifa Rajabu Mhamila 'Super D' jana. Class anajiandaa kupambana na Sako Mwaisege ' Dunga' siku ya Iddi pili katika Ukumbi wa Diamond Jubilee na Sunga anajiandaa kupambana na Mussa Seif 'Boda boda' katika Uwanja wa Bandari Tandika Dar es salaam.picha na www.superdboxingcoach. |
Wednesday, August 8, 2012
Home
Unlabelled
MABONDIA KING CLASS MAWE,MUSSA SUNGA WAINGIA KAMBINI
MABONDIA KING CLASS MAWE,MUSSA SUNGA WAINGIA KAMBINI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment