HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, August 30, 2012

kila kazi na utaalam wakeee




Mafundi wanaofanya service katika kituo cha Mafuta cha Victoria jijini Dar,wakihangaika kuiweka sawa gari ya mteja mmoja aliefika kituoni hapo kwa lengo la kufanya Service gari yake hiyo.Mteja huyo alitaka kuipandisha mwenyewe gari hiyo katika sehemu maalum ya kufanyia service na kujikuta akiipandisha ndivyo sivyo hadi kufikia hali hii iliyompelekea mdau Msuya kupata taswira hii.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad